2 Timothy 1:12-14

12 aHii ndiyo sababu ninateseka namna hii, lakini sioni haya kwa maana ninamjua yeye niliyemwamini, na kusadiki ya kuwa anaweza kukilinda kile nilichokiweka amana kwake hadi siku ile.

13 bShika kwa uthabiti kielelezo cha mafundisho yenye uzima yale uliyoyasikia kwangu, pamoja na imani na upendo katika Al-Masihi Isa. 14 cIlinde ile amana uliyokabidhiwa kwa Roho Mtakatifu akaaye ndani yetu.

Copyright information for SwhKC